WATANZANIA TUPINGE USHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA


Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo yaNje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Lowassa, amemtahadhalisha kujiepusha na kauli za kuunga mkono ushoga.
 


Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Alisema  kuwa ushoga na hai za ndoa kwa watu wa jinsia moja vinaweza `kuiharibu’ ziara yake hapa nchini.

Mapema wiki hii, Rais Obama alikaririwa akizungumzia masuala hayo yanayotajwa kuwa ni moja ya haki za msingi za binadamu, alipokuwa Senegal, lakini akapingwa.
 
“Watanzania hawatalikubali na wataendelea kushikilia uhuru na heshima walizojengewa tangu awali, kwamba ushoga na ndoa za jinsia moja havikubaliki,” alisema













Ndoa za mashoga kuhalalishwa Uingereza
Ndoa za watu wa jinsia moja zitahalalaishwa katika mataifa ya England na Wales, baada ya bunge la Uingereza kuidhinisha mabadiliko ya mwisho katika sheria ambayo inaungwa mkono na waziri mkuu David Cameron.
Sheria hiyo imesababisha mgawanyiko katika chama cha kihafidhina, Conservative, cha David Cameron. Sheria hiyo inaungwa mkono na vyama vingine wiwili vikubwa nchini Uingereza, Labour na Liberal Democrats.
Wabunge wa chama cha Conservative wamepiga kura mara mbili kuipinga sheria hiyo. Mswada wa sheria hiyo ulipitishwa baada ya mdahalo uliodumu kwa masaa mawili, na inasubiri kutiwa saini na Malkia Elizabeth kuwa sheria.


 


Akiwa Senegal, Rais Obama alitaka serikali za Afrika kutoa haki kwa mashoga kama inavyotoa kwa raia wengine.
 







Comments

Popular posts from this blog

Top Ten Best Movies Production Companies

EXPECT LOW ,YOU WILL NEVER BE DISAPPOINTED