Posts

Showing posts from 2013

WATANZANIA TUPINGE USHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo yaNje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Lowassa, amemtahadhalisha kujiepusha na kauli za kuunga mkono ushoga.   Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Alisema   kuwa ushoga na hai za ndoa kwa watu wa jinsia moja vinaweza `kuiharibu’ ziara yake hapa nchini. Mapema wiki hii, Rais Obama alikaririwa akizungumzia masuala hayo yanayotajwa kuwa ni moja ya haki za msingi za binadamu, alipokuwa Senegal, lakini akapingwa.   “Watanzania hawatalikubali na wataendelea kushikilia uhuru na heshima walizojengewa tangu awali, kwamba ushoga na ndoa za jinsia moja havikubaliki,” alisema Ndoa za mashoga kuhalalishwa Uingereza Ndoa za watu wa jinsia moja zitahalalaishwa katika mataifa ya England na Wales, baada ya bunge la Uingereza kuidhinisha mabadiliko ya mwisho katika sheria ambayo inaungwa mkono na waziri mkuu David Cameron. Sheria hiyo imesababisha mgawanyiko katika chama cha kihafidhina, Conservative, cha David Cameron. Sh...

MY CLASS MATES FROM SAMARITAN TECH

Image
muhenga gabriel(kulia) akiwa na wanafunzi wenzake ktk shule ya secondary samaritan tech NAWAKUMBUKA SANA WANAFUNZI NILIOMALIZANAO SHULE YA SEKONDARY SAMARITAN KWANI KWA SASA MOST OF THEM HATUONANI KABISA ,MISS YOU GUYS !!!!!

FBI WAKAGUA OFISI YA KOVA WAKITUMIA MBWA

Image
Dar es Salaam. Ofisa mmoja wa Usalama wa Marekani (FBI), akiwa na mbwa jana aliingia Makao Makuu ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na kufanya ukaguzi. Tukio hilo lilitokea muda mfupi kabla ya msafara wa magari ya Marekani kupita yakitokea Ikulu kwenda Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere kumlaki Rais Barack Obama. Polisi ambaye hakutaka kutajwa alisema ofisa huyo  aliingia na mbwa hadi maeneo ya mapokezi, lakini muda mfupi walitoka. “Walikwenda moja kwa moja mapokezi wakafanya ukaguzi,  kisha wakatoka nje ya jengo na kama hiyo haitoshi, ofisa huyo akiwa na mbwa alikwenda sehemu ya kuegesha magari yenye kesi na yale ya kawaida na kuanza kufanya ukaguzi, baada ya hapo waliondoka,” alisema polisi huyo na kuongeza: “Licha ya mimi kutokuwa na  cheo pale, lakini hili la kutukagua na mbwa, ni kama wametudhalilisha... sisi ndiyo tunaaminika kwa usalama, leo hii wanatukagua na mbwa. Tena Kituo Kikuu.” Hata hivyo, usalama kwenye vituo vingi ikiwamo Uwanja wa...